Yakobo 1:1 - Swahili Revised Union Version1 Yakobo, mtumwa wa Mungu, na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mawili waliotawanyika; salamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia nyinyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salamu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia nyinyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salamu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia nyinyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salamu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Isa Al-Masihi. Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni. Salamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Yakobo, mtumwa wa Mwenyezi Mungu na wa Bwana Isa Al-Masihi: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni: Salamu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Yakobo, mtumwa wa Mungu, na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mawili waliotawanyika; salamu. Tazama sura |
Basi Hamani akamwambia mfalme Ahasuero, Kuna watu wa taifa moja waliotawanyika na kukaa kila mahali katikati ya watu wa mataifa walioko katika mikoa yote ya ufalme wako. Nao sheria zao zimetofautiana na sheria za kila taifa; wala hawazishiki amri za mfalme; kwa hiyo haimpasi mfalme kuchukuliana nao.