Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:37 - Swahili Revised Union Version

Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Habari za Yesu zikaenea mahali pote katika eneo lile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Habari za Yesu zikaenea mahali pote katika eneo lile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Habari za Yesu zikaenea mahali pote katika eneo lile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:37
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa busara, atatukuzwa, na kuinuliwa juu, naye atakuwa juu sana.


Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.


Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.


Habari zake zikaenea haraka kote katika nchi zote kandokando ya Galilaya.


Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini waziwazi; bali alikaa nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila upande.


Naye Mfalme Herode akasikia habari; kwa maana jina lake lilikuwa limeenea, akasema, Yohana Mbatizaji amefufuka katika wafu, na kwa hiyo nguvu hizi zinatenda kazi ndani yake.


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.