Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:33 - Swahili Revised Union Version

Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapaza sauti kwa nguvu akisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapiga kelele kwa nguvu akisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:33
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na mara palikuwapo ndani ya sinagogi lao mtu mwenye pepo mchafu; akapaza sauti,


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.