Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:28 - Swahili Revised Union Version

Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Asa akamkasirikia mwonaji, akamtia katika nyumba ya magandalo gerezani, maana amemghadhibikia kwa sababu ya neno hilo. Na wakati uleule Asa akatesa baadhi ya watu.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Tena, palikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli zamani za nabii Elisha, wala hapana aliyetakaswa ila Naamani, mtu wa Shamu.


Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakampeleka mpaka ukingo wa kilima ambacho mji wao umejengwa juu yake, wapate kumtupa chini;


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.