Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:24 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Amin, nawaambia ya kwamba, Hakuna nabii anayekubaliwa katika nchi yake mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akaendelea kusema, “Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi kijijini mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akaendelea kusema, “Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi kijijini mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akaendelea kusema, “Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi kijijini mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akasema, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika katika mji wake mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akasema, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika katika mji wake mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Amin, nawaambia ya kwamba, Hakuna nabii anayekubaliwa katika nchi yake mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Watu wengi zaidi wakaamini kwa sababu ya neno lake.


Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.


Mimi ni mtu wa Kiyahudi, nilizaliwa Tarso, mji wa Kilikia, ila nililelewa katika mji huu, miguuni pa Gamalieli, nikafundishwa sheria ya baba zetu kwa usahihi, nikawa mtu wa jitihada kubwa kwa Mungu kama ninyi nyote mlivyo leo hivi;