Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:19 - Swahili Revised Union Version

Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na kutangaza mwaka wa Mwenyezi Mungu uliokubalika.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kutangaza mwaka wa Mwenyezi Mungu uliokubalika.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


Kutangaza mwaka wa BWANA uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;


Maana siku ya kisasi ilikuwamo moyoni mwangu, Na mwaka wao niliowakomboa umewadia.


Tena itakapokuwapo hiyo jubilii ya wana wa Israeli, ndipo urithi wa hilo kabila ambalo wamekuwa ndani yake utaongezewa huo urithi wao; hivyo urithi wao utaondolewa katika urithi wa kabila la baba zetu.


akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.


Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.