Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:13 - Swahili Revised Union Version

Basi alipomaliza kila jaribu, Ibilisi akamwacha akaenda zake kwa muda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ibilisi alipokwisha mjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ibilisi alipokwisha mjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ibilisi alipokwisha mjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha Isa hadi wakati mwingine ufaao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha Isa mpaka wakati mwingine ufaao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi alipomaliza kila jaribu, Ibilisi akamwacha akaenda zake kwa muda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.


Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa kama sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.


Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.