Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
Akawaonya sana, mtu asijue habari ile; akaamuru apewe chakula.
Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?
Akakitwaa, akala mbele yao.
Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo.