Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:14 - Swahili Revised Union Version

Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.


Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda katika kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili.


Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao.


Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.


nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.