Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:1 - Swahili Revised Union Version

Siku ya kwanza ya juma, ilipoanza kupambazuka, walikwenda kaburini, wakiyaleta manukato waliyoweka tayari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya kwanza ya juma, ilipoanza kupambazuka, walikwenda kaburini, wakiyaleta manukato waliyoweka tayari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwemo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;


Nao ni Mariamu Magdalene, na Yoana, na Mariamu mamaye Yakobo, na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao;


Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi,


tena, wanawake kadhaa wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema,