Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:6 - Swahili Revised Union Version

Pilato aliposikia hayo aliuliza kama huyu ni mtu wa Galilaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato aliposikia hayo akauliza kama huyo mtu alikuwa Mgalilaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pilato aliposikia hayo aliuliza kama huyu ni mtu wa Galilaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Petro alikuwa ameketi nje uani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, Wewe nawe ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya.


Na wakati uo huo walikuwapo watu waliompasha habari ya Wagalilaya wale ambao Pilato alichanganya damu yao na dhabihu zao.


Nao walisisitiza sana, wakisema, Huwataharakisha watu, akifundisha katika Yudea yote, tokea Galilaya mpaka huku.


Na alipopata habari ya kuwa yu chini ya mamlaka ya Herode, alimpeleka kwa Herode, kwa kuwa yeye naye alikuwapo Yerusalemu siku zile.


Baada ya mtu huyo aliondoka Yuda Mgalilaya, siku zile za kuandikiwa orodha, akawavuta watu kadhaa nyuma yake, naye pia akapotea na wote waliomsadiki wakatawanyika.