Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:42 - Swahili Revised Union Version

Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akasema, “Isa, unikumbuke utakapokuja katika ufalme wako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akasema, “Isa, unikumbuke utakapokuja katika Ufalme wako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:42
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.


Nami nawaambia, kila atakayenikiri mbele ya watu, Mwana wa Mtu naye atamkiri yeye mbele ya malaika wa Mungu;


Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni, bali alijipigapiga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye dhambi.


Nayo ni haki kwetu sisi, kwa kuwa tunapokea malipo tuliyostahili kwa matendo yetu; bali huyu hakutenda lolote lisilofaa.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.


Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?


Nathanaeli akamjibu, Rabi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme wa Israeli.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.


Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na kila mtu ampendaye mwenye kuzaa, ampenda hata yeye aliyezaliwa na yeye.