Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:62 - Swahili Revised Union Version

Akatoka nje akalia kwa majonzi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo akatoka nje, akalia sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo akatoka nje, akalia sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo akatoka nje, akalia sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akaenda nje, akalia kwa majonzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akaenda nje, akalia kwa majonzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka nje akalia kwa majonzi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:62
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nitaungama uovu wangu, Na kusikitika kwa dhambi zangu.


Hakika nimemsikia Efraimu, akijililia hivi, Umeniadhibu, nami nikaadhibika, kama ndama asiyeizoea nira; unigeuze, nami nitageuka; kwa maana wewe u BWANA, Mungu wangu.


Lakini watakaokimbia watakimbia, nao watakuwa juu ya milima kama hua wa bondeni, wote wakilia, kila mmoja katika uovu wake.


Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimdunga; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.


Petro akalikumbuka lile neno la Yesu alilolisema, Kabla ya jogoo kuwika, utanikana mara tatu. Akatoka nje, akalia kwa majonzi.


Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.


Na mara jogoo akawika mara ya pili. Petro akalikumbuka lile neno aliloambiwa na Yesu, Kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu. Na alipolifikiri, akalia.


Bwana akageuka akamtazama Petro. Petro akalikumbuka lile neno la Bwana jinsi alivyomwambia, Leo kabla hajawika jogoo utanikana mara tatu.


Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.