Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 21:31 - Swahili Revised Union Version

Nanyi kadhalika, mwonapo mambo hayo yanaanza kutokea, tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu u karibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivyo hivyo, mnapoyaona mambo haya yakitukia, mtambue kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mwenyezi Mungu umekaribia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi kadhalika, mwonapo mambo hayo yanaanza kutokea, tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu u karibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 21:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Amin, nawaambieni, Kizazi hiki hakitapita kabla ya hayo yote kutimia.


Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia.


Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.