Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:41 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Wasemaje watu kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Al-Masihi ni Mwana wa Daudi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Al-Masihi ni Mwana wa Daudi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Wasemaje watu kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:41
14 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo agano langu nililolifanya na Daudi, mtumishi wangu, laweza kuvunjika, hata asiwe na mwana wa kumiliki katika kiti chake cha enzi; tena agano langu nililofanya na Walawi makuhani, wahudumu wangu, laweza kuvunjika.


Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu.


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Andiko halikusema ya kwamba Kristo atoka katika uzao wa Daudi, na kutoka Bethlehemu, mji ule alioukaa Daudi?


Basi kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba katika uzao wa wazawa wake atamketisha mmoja katika kiti chake cha enzi;


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.