Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:4 - Swahili Revised Union Version

Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


Akajibu akawaambia, Nami nitawauliza ninyi neno moja; niambieni,


Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.