Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
Luka 20:4 - Swahili Revised Union Version Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?” Biblia Habari Njema - BHND Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?” Neno: Bibilia Takatifu Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” Neno: Maandiko Matakatifu Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” BIBLIA KISWAHILI Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? |
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?