Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:5 - Swahili Revised Union Version

ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alikwenda kuhesabiwa pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mjamzito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alikwenda kuhesabiwa pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mjamzito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alikwenda kuhesabiwa pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mjamzito.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alienda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, aliyekuwa amemposa, na alikuwa mjamzito.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa, naye alikuwa mjamzito.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu.


Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.


Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Yudea mpaka katika mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa ukoo na jamaa ya Daudi;


Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,