Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:40 - Swahili Revised Union Version

Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatanena kwa sauti kuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa watanyamaza, mawe yatapaza sauti.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatanena kwa sauti kuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:40
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie, Bahari na ivume na vyote viijazavyo,


Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya shambani itapiga makofi.


Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.


Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.


wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Abrahamu watoto.


Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,


tena akaihukumu miji ya Sodoma na Gomora, akiipindua na kuifanya majivu, akaifanya iwe ishara kwa watu watakaokuwa hawamchi Mungu baada ya haya;