Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:34 - Swahili Revised Union Version

Wakasema, Bwana anamhitaji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasema, Bwana anamhitaji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Na walipokuwa wakimfungua mwanapunda, wenyewe waliwaambia, Mbona mnamfungua mwanapunda?


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.


Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);


Mambo hayo wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba walimtendea hayo.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.