Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:28 - Swahili Revised Union Version

Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha akiwa karibu kufa.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!


Akawachukua wale Kumi na Wawili, akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote, Mwana wa Adamu aliyoandikiwa na manabii yatatimizwa.


Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliuelekeza uso wake kwenda Yerusalemu;


Basi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga alani mwake; je! Kikombe alichonipa Baba, mimi nisikinywee?


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi.