Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:28 - Swahili Revised Union Version

28 Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Luka 19:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha akiwa karibu kufa.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!


Akawachukua wale Kumi na Wawili, akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote, Mwana wa Adamu aliyoandikiwa na manabii yatatimizwa.


Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliuelekeza uso wake kwenda Yerusalemu;


Basi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga alani mwake; je! Kikombe alichonipa Baba, mimi nisikinywee?


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo