Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:25 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena jambo hili lilikuwa dogo machoni pako, Ee Bwana MUNGU; hata umeleta habari ya nyumba yangu mimi, mtumishi wako, kwa miaka mingi inayokuja baadaye; na hayo kwa namna ya kibinadamu, Ee Bwana MUNGU.


Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena.


Akawaambia waliosimama karibu, Mnyang'anyeni hilo fungu, mkampe yule mwenye mafungu kumi.


Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.