Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:25 - Swahili Revised Union Version

25 Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi.

Tazama sura Nakili




Luka 19:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena jambo hili lilikuwa dogo machoni pako, Ee Bwana MUNGU; hata umeleta habari ya nyumba yangu mimi, mtumishi wako, kwa miaka mingi inayokuja baadaye; na hayo kwa namna ya kibinadamu, Ee Bwana MUNGU.


Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena.


Akawaambia waliosimama karibu, Mnyang'anyeni hilo fungu, mkampe yule mwenye mafungu kumi.


Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo