Luka 19:25 - Swahili Revised Union Version25 Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Nao wakamwambia: ‘Lakini Bwana, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi. Tazama sura |