Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:33 - Swahili Revised Union Version

nao watampiga mijeledi, kisha watamwua; na siku ya tatu atafufuka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao watampiga mijeledi, kisha watamwua; na siku ya tatu atafufuka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


wakasema, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa angali hai, Baada ya siku tatu nitafufuka.


Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;


Lakini hawakuelewa maneno hayo hata kidogo, na jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao, wala hawakufahamu yaliyonenwa.


Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipotendeka mambo hayo;


akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulubiwa, na kufufuka siku ya tatu.