Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:21 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nisherehekee na rafiki zangu;


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Yesu aliposikia hayo alimwambia, Umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha, njoo unifuate.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.