Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:2 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Palikuwa na hakimu katika mji fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia, “Katika mji mmoja palikuwa hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwepo hakimu ambaye hakumwogopa Mwenyezi Mungu wala kumjali mtu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Palikuwa na hakimu katika mji fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.


Njia kuu zimeachwa, msafiri ameikimbia barabara; ameyavunja maagano, ameidharau miji, hamjali mtu.


Na katika mji huo palikuwa na mwanamke mjane, aliyekuwa akimwendeaendea, akisema, Nipatie haki na adui wangu.


Naye kwa muda alikataa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu,


Basi, bwana wa shamba la mizabibu alisema, Nifanyeje? Nitamtuma mwanangu, mpendwa wangu; yamkini watamheshimu yeye.


Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawaheshimu; basi si ni afadhali zaidi kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi?