Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:15 - Swahili Revised Union Version

Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse; lakini wanafunzi walipoona waliwakemea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia, watu walikuwa wakimletea Isa watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia, watu walikuwa wakimletea Isa watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse; lakini wanafunzi walipoona waliwakemea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa kuwa watu kama hao ufalme wa Mungu ni wao.


Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?


Naye alipomwachisha kunyonya, akamchukua pamoja naye, na ng'ombe watatu, na efa moja ya unga, na chupa ya divai, akamleta nyumbani kwa BWANA, huko Shilo; na yule mtoto alikuwa mtoto mdogo.


Nao wakamchinja huyo ng'ombe, wakamleta mtoto kwa Eli.