Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:15 - Swahili Revised Union Version

15 Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse; lakini wanafunzi walipoona waliwakemea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Pia, watu walikuwa wakimletea Isa watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Pia, watu walikuwa wakimletea Isa watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse; lakini wanafunzi walipoona waliwakemea.

Tazama sura Nakili




Luka 18:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa kuwa watu kama hao ufalme wa Mungu ni wao.


Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?


Naye alipomwachisha kunyonya, akamchukua pamoja naye, na ng'ombe watatu, na efa moja ya unga, na chupa ya divai, akamleta nyumbani kwa BWANA, huko Shilo; na yule mtoto alikuwa mtoto mdogo.


Nao wakamchinja huyo ng'ombe, wakamleta mtoto kwa Eli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo