Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 1:25 - Swahili Revised Union Version

25 Nao wakamchinja huyo ng'ombe, wakamleta mtoto kwa Eli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, walimpeleka mtoto kwa kuhani Eli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, walimpeleka mtoto kwa kuhani Eli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, walimpeleka mtoto kwa kuhani Eli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, wakamleta mtoto kwa Eli,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, wakamleta mtoto kwa Eli,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Nao wakamchinja huyo ng'ombe, wakamleta mtoto kwa Eli.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 1:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atamchinja huyo ng'ombe mbele ya BWANA; kisha wana wa Haruni, hao makuhani, wataileta karibu hiyo damu, na kuinyunyiza damu yake kandokando katika madhabahu iliyo hapo mlangoni pa hema ya kukutania


Kisha, zilipotimia siku za kutakasika kwao, kama ilivyo Torati ya Musa walikwenda naye hata Yerusalemu, wamweke kwa Bwana,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo