Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 16:5 - Swahili Revised Union Version

Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Unadaiwa nini na bwana wangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Unadaiwa nini na bwana wangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 16:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja mwenye deni la talanta elfu kumi.


Mtumwa yule akatoka, akamwona mmoja wa watumishi wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata, akamkaba koo, akisema, Nilipe unachodaiwa.


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Najua nitakalotenda, ili nitakapotolewa katika uwakili, wanikaribishe nyumbani mwao.


Akasema, Vipimo mia vya mafuta. Akamwambia, Twaa hati yako, keti upesi, andika hamsini.