Mathayo 18:24 - Swahili Revised Union Version24 Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja mwenye deni la talanta elfu kumi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa na deni la fedha talanta 10,000. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa na deni la fedha talanta 10,000. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa na deni la fedha talanta 10,000. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta elfu kumi aliletwa kwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta 10,000, aliletwa kwake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja mwenye deni la talanta elfu kumi. Tazama sura |