Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 16:5 - Swahili Revised Union Version

5 Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Unadaiwa nini na bwana wangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Unadaiwa nini na bwana wangu?

Tazama sura Nakili




Luka 16:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja mwenye deni la talanta elfu kumi.


Mtumwa yule akatoka, akamwona mmoja wa watumishi wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata, akamkaba koo, akisema, Nilipe unachodaiwa.


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Najua nitakalotenda, ili nitakapotolewa katika uwakili, wanikaribishe nyumbani mwao.


Akasema, Vipimo mia vya mafuta. Akamwambia, Twaa hati yako, keti upesi, andika hamsini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo