Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:19 - Swahili Revised Union Version

sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

mimi sistahili hata kidogo hizo rehema zote na kweli yote uliyomfanyia mtumwa wako; maana nilivuka mto huo wa Yordani na fimbo yangu tu, na sasa nimekuwa makundi mawili.


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Maana mimi ni mdogo katika mitume, nisiyestahili kuitwa mitume, kwa sababu nililiudhi kanisa la Mungu.


Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake;