Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:1 - Swahili Revised Union Version

Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, mtu mwovu atakapoghairi, na kuuacha uovu wake alioutenda, na kutenda yaliyo halali na haki, ataponya roho yake, nayo itakuwa hai.


Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mnapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?


Na tazama, wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.


Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.


Lakini sheria iliingia ili kosa lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi, neema ilikuwa nyingi zaidi;


Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza wao ni mimi.