Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 14:8 - Swahili Revised Union Version

Ukialikwa na mtu arusini, usiketi katika kiti cha mbele; isiwe kwamba amealikwa mtu mwenye kustahiwa kuliko wewe,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mtu akikualika arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu mheshimiwa kuliko wewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mtu akikualika arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu mheshimiwa kuliko wewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ukialikwa na mtu harusini, usiketi katika kiti cha mbele; isiwe kwamba amealikwa mtu mwenye kustahiwa kuliko wewe,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 14:8
1 Marejeleo ya Msalaba