Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:57 - Swahili Revised Union Version

Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:57
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka, ukatupwe baharini, litatendeka.


Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.


Wakati imalizapo kuchipuka, mwaona na kutambua wenyewe ya kwamba majira ya mavuno yamekwisha kuwa karibu.


Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunika kichwa?


Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?


Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.