Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:43 - Swahili Revised Union Version

Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, Ndiye atakayenitumikia.


Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa.


Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikaye sana; azishikaye sabato asizivunje, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.


Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivyo.


Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Bwana akasema, Ni nani, basi, aliye wakili mwaminifu, mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya utumishi wake wote, awape watu posho kwa wakati wake?


Kweli nawaambia, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Kwa hiyo, wapenzi, mnapoyangojea mambo hayo, fanyeni bidii ili mwonekane mkiwa na amani, bila doa wala dosari mbele yake.