Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:43 - Swahili Revised Union Version

43 Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.

Tazama sura Nakili




Luka 12:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, Ndiye atakayenitumikia.


Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa.


Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikaye sana; azishikaye sabato asizivunje, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.


Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivyo.


Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Bwana akasema, Ni nani, basi, aliye wakili mwaminifu, mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya utumishi wake wote, awape watu posho kwa wakati wake?


Kweli nawaambia, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Kwa hiyo, wapenzi, mnapoyangojea mambo hayo, fanyeni bidii ili mwonekane mkiwa na amani, bila doa wala dosari mbele yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo