Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:40 - Swahili Revised Union Version

Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Mtu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi nanyi hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi nanyi hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:40
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.


Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyotazamia Mwana wa Adamu yuaja.


Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.


Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-kondoo imekuja, na mkewe amejiweka tayari.