Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:23 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde popote; ujiponye mlimani, usije ukaangamia.


BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yote aliyo nayo yamo katika uwezo wako; lakini usinyoshe mkono wako juu yake yeye mwenyewe. Basi Shetani akatoka mbele za uso wa BWANA.


Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.


Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.


Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!


Walipokwisha kushiba wakaipunguza shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.