Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:38 - Swahili Revised Union Version

Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Alipokuwa akinena, Farisayo mmoja alimwita aje kwake ale chakula; akaingia, akaketi chakulani.


Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso.