Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:8 - Swahili Revised Union Version

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Awapokeaye ninyi, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma.


Na mji wowote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo, nanyi mkipita katika njia zake semeni,


akawaambia, Yeyote atakayempokea mtoto huyu kwa jina langu anipokea mimi; na yeyote atakayenipokea mimi ampokea yeye aliyenituma. Kwa kuwa aliye mdogo miongoni mwenu nyote huyo ndiye mkubwa.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeaye mtu yeyote nimtumaye, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi; ampokea yeye aliyenituma.


Na mtu asiyeamini akiwaalika, nanyi mnataka kwenda, kuleni kila kitu kiwekwacho mbele yenu bila kuulizauliza, kwa ajili ya dhamiri.


Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waihubirio Injili wapate riziki kwa hiyo Injili.