Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:26 - Swahili Revised Union Version

Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Na tazama, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?


Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.


Kwa maana Musa aliandika juu ya haki itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye hiyo ataishi kwa hiyo.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;