Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:74 - Swahili Revised Union Version

Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

tukombolewe mikononi mwa maadui zetu, tupate kumtumikia bila hofu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

tukombolewe mikononi mwa maadui zetu, tupate kumtumikia bila hofu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

tukombolewe mikononi mwa maadui zetu, tupate kumtumikia bila hofu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutuokoa kutoka mikononi mwa adui zetu, tupate kumtumikia yeye pasipo hofu

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutuokoa kutoka mikononi mwa adui zetu, tupate kumtumikia yeye pasipo hofu

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:74
21 Marejeleo ya Msalaba  

lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Unikomboe kutoka kwa dhuluma ya mwanadamu, Nipate kuyashika mausia yako.


watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili wazitangaze sifa zangu.


Bali Israeli wataokolewa na BWANA kwa wokovu wa milele; ninyi hamtatahayarika, wala kufadhaika, milele na milele.


BWANA wa majeshi asema hivi, Saumu ya mwezi wa nne, na saumu ya mwezi wa tano, na saumu ya mwezi wa saba, na saumu ya mwezi wa kumi, zitakuwa furaha na shangwe, na sikukuu za kuchangamkia, kwa nyumba ya Yuda; basi zipendeni kweli na amani.


Tuokolewe na adui zetu Na mikononi mwao wote wanaotuchukia;


Kiapo alichomwapia Abrahamu, baba yetu,


Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku zetu zote.


Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele.


Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.


Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.


awaache huru wale ambao katika maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.


basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na dosari, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.