Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:61 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamwambia, “Hakuna mtu yeyote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamwambia, “Hakuna mtu yeyote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:61
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.


Wakamwashiria babaye wajue atakavyo kumwita.


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.