Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:53 - Swahili Revised Union Version

Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wenye njaa amewashibisha mema, matajiri amewaondoa mikono mitupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wenye njaa amewashibisha mema, matajiri amewaondoa mikono mitupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wenye njaa amewashibisha mema, matajiri amewaondoa mikono mitupu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:53
21 Marejeleo ya Msalaba  

Huwafanyia hukumu walioonewa, Huwapa wenye njaa chakula; BWANA hufungua waliofungwa;


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Nami nitawainulia miche iwe sifa njema, wala hawataangamizwa kwa njaa katika nchi yao tena, wala hawatatukanwa tena na mataifa.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Amemsaidia Israeli, mtumishi wake; Ili kukumbuka rehema zake;


Heri ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba. Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka.


Lakini, ole wenu ninyi mlio na mali, kwa kuwa faraja yenu mmekwisha kuipata.


Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe.


Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;


Mmekwisha kushiba, mmekwisha kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti mngemiliki, ili sisi nasi tumiliki pamoja nanyi!


Walioshiba wamejikodisha ili kupata chakula, Lakini waliokuwa na njaa sasa hawana njaa tena. Naam, huyo aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini aliye na watoto wengi amehuzunika.