Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:24 - Swahili Revised Union Version

24 Lakini, ole wenu ninyi mlio na mali, kwa kuwa faraja yenu mmekwisha kuipata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Lakini, ole wenu ninyi mlio na mali, kwa kuwa faraja yenu mmekwisha kuipata.

Tazama sura Nakili




Luka 6:24
20 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asema BWANA wa majeshi; na katika mahali hapa nitawapa amani, asema BWANA wa majeshi.


Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.


Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu.


Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.


Ole wenu ninyi ambao mmeshiba sasa, kwa kuwa mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, kwa kuwa mtaomboleza na kulia.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! Matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo