Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:45 - Swahili Revised Union Version

Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amebarikiwa yeye aliyeamini kwamba lile Mwenyezi Mungu alilomwambia litatimizwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amebarikiwa yeye aliyeamini kwamba lile Mwenyezi Mungu alilomwambia litatimizwa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:45
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lile pipa la unga halikupunguka, wala ile chupa ya mafuta haikuisha, sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa kinywa cha Eliya.


Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.


Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini BWANA, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.


Na tazama! Utakuwa bubu, usiweze kusema, mpaka siku ile yatakapotukia hayo, kwa sababu hukuyasadiki maneno yangu; nayo yatatimizwa kwa wakati wake.


Maana sauti ya kuamkia kwako ilipoingia masikioni mwangu, kitoto kichanga kikaruka kwa shangwe ndani ya tumbo langu.


Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;


Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?


Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.