Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 4:5 - Swahili Revised Union Version

5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Akaenda na kujifungia ndani ya nyumba na wanawe na kuanza kumimina mafuta ndani ya vyombo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Akaenda na kujifungia ndani ya nyumba na wanawe na kuanza kumimina mafuta ndani ya vyombo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Akaenda na kujifungia ndani ya nyumba na wanawe na kuanza kumimina mafuta ndani ya vyombo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Yule mjane akaondoka na kujifungia ndani, yeye na wanawe. Wao wakamletea vyombo, naye akaendelea kumimina mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Yule mjane akaondoka na kujifungia ndani, yeye na wanawe. Wao wakamletea vyombo, naye akaendelea kumimina mafuta.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 4:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.


Ikawa, vilipokwisha kujaa vile vyombo, akamwambia mwanawe, Niletee tena chombo. Akamwambia, Hakuna tena chombo. Mafuta yakakoma.


Lakini Naamani akakasirika, akaondoka, akasema, Tazama, nilidhania, Bila shaka atatoka kwangu, na kusimama, na kuomba kwa jina la BWANA, Mungu wake, na kupitisha mkono wake mahali penye ugonjwa, na kuniponya mimi mwenye ukoma.


Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo