Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:40 - Swahili Revised Union Version

akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaingia nyumbani mwa Zakaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaingia nyumbani kwa Zekaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Basi, Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda hadi katika nchi yenye milima kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yudea,


Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.